(Jukwaa la maendeleo mkoa wa Rukwa (JUMARU) mahsusi kwa ajili ya kutuunganisha wanarukwa wa ndani ya mkoa, nje ya mkoa na nje ya nchi katika kuunganisha nguvu zetu za hali na mali ili tuweze kuhamasisha na kuchangia katika jitihada za kuleta maendeleo ndani ya mkoa na wanarukwa kwa ujumla
"Kwa Rukwa Endelevu, Pamoja Tunaweza."
Mwenyekiti wa secretariate ya Jumaru anawakumbusha wanasecretariate wa Dsm kua kutakua na kikao kesho jumamosi landmark hotel sa 17:00. Wahi bila kuchelewaa. mtalifu mwenzako.